HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, August 27, 2008

Dr Shein Ziarani Mkoani Kigoma

Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein(Kushoto)akisalimiana na mtoto Elius Chegecha( 10)anaesoma darasa la kwanza katika Shule ya msingi Kakonko Wilayani Kibondo wakati alipofika katika kijiji hicho kwa ajili ya kuangalia hifadhi ya maendeleo ya mradi wa msitu wa asili wa Muganza Wilayani Kibondo jana

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad