
“Albamu ina kazi zaidi ya kumi zikiwemo Chupa ya koka, Nimeshafika, Nimekuchagua, Angel, Dodoma, Kama, Hallo na nyingine kibao. Nataka kufanya kitu ambacho kinaweza kikawa mkombozi wetu, yaani kutengeneza kopi mwenyewe na kuzisambaza sokoni, badala ya kuwategemea wahindi kama ilivyokuwa hapo awali,” alisema Bushoke.Albamu hiyo inatarajiwa kudondoka kitaani mapema mwezi ujao.michapo hii inapatikana katika kijiji cha kaka Abdallah Mrisho.
No comments:
Post a Comment