
hii kule kwa kina chenti hanchini na kina chigala echiemu bila kumsahau jumapili wikiend(hilo ni jina la kidhungu kwa kule) ni mboga baabu kubwa hii ambayo inaheshima zote hata mgeni akifika mboga atakayoweke ni ya hawa jamaa waliowekwa kwenye hizi fimbo.halafu nasikia ni watamu haooooooo
hawa ndio chamaki wa kwenu ati jr???
ReplyDelete