HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, July 24, 2008

Nani Atanyakua Mchuma Huu??

baadhi ya warembo watakao panda jukwaani hapo agosti 2, katika viwanja vya leaders club kuwania taji la Vodacom Miss Tanzania 2008 wakiwa katika picha ya pamoja katika gari ambalo litakabidhiwa kwa mshindi wa kwanza. gari hilo aina ya Suzuki Grand Vitara linathamani ya sh milioni 42.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad