HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 25, 2008

Mh. Sumaye Atembelea Kituo Cha Radio Clouds 88.4 Fm

Waziri mkuu mstaafu mh.Fredrik Sumaye leo asubuhi amekitembelea kituo cha redio ya Clouds Fm 88.4,aidha Sumaye alionesha kuvutiwa sana na utendaji kazi wa kituo hicho na pia hakusita kuuliza maswali kadhaa kwa ufahamu zaidi.Pichani shoto ni Mkurugenzi wa Clouds Media Group Bw.Joseph Kusaga na kulia ni programu meneja wa kituo hicho Sebastian Maganga.picha na Jr 1

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad