.jpg)
.jpg)
Jana mdau RT wa kijiji hiki pamoja na kijiji cha jirani Fotobaraza,aliweza kufanikisha kufanya bonge la pati kwa ajili ya kumbukumbu yake ya siku ya kuzaliwa pale maeneo ya Tabata ndani ya ukumbi wa swiss pub,kaka Magere wewe ulifanyia wapi pati yako??
Happy Birthday
ReplyDelete