
Hivyo basi haishangazi kwamba hivi karibuni watangazaji wawili wa kipindi hicho waliokuwa wamezoeleka,Masoud Kipanya (KP) na Fina Mango, walipopotea hewani maswali mengi yaliibuka.Wako wapi KP na Fina?Maoni na e-mails zikarushwa kwetu tukiombwa kuwatafuta na kujua nini kimetokea na kama wapo likizo tu au inakuwaje?kwa undani zaidi juu ya yaliyowa wasibu watangazaji hawa wakipindi maarufu cha PowerBreakfast zama katika wanja la Bongocelebrity uujue ukweli.
No comments:
Post a Comment