HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, June 19, 2008

Kazi Ipo Hapa!

amakweli unapoambiwa tembea ujionee,sio kama ujionee majumba wala manini bali kujionea mambo kama haya.

sasa hawa watoto wanachokiangalia na kukifurahia ni kitu gani kwa huyu babu?

2 comments:

  1. hehehe michuzi kakangu haya mavazi ndo mavazi ya wanaume hapa scotland , halafu hutakiwi kuvaa kitu ndani..............Mwenzio huwa natinga haya siku moja moja lakini siachi bukta yangu lol....
    David

    ReplyDelete
  2. hihihihih.....we david wewe!!!!!
    kwa hiyo huyu mtoto anaechungulia kaona joka nini??

    ReplyDelete

Post Bottom Ad