HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 18, 2008

Hapa Ni Jino Moja Tu!

Mdau wa kijiji cha jamii cha fotobaraza,mkuu Ernest alipiga picha hii alipotembelea huko Igurusi,mkoani Mbeya inayoowaonyesha vijana waliokuwa wakisukuma gari hii ili liwake na kuendelea na shughuli zao za kila siku,hii inaonyesha kuwa hakuna kinachotupwa hapa bongo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad