HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, June 16, 2008

Dada Chemi Che Mponda

"Hii ni costume niliyovaa siku ya kwanza kwenye set ya The Surrogates. Nilikuwa mpita njia na nilimpita Bruce Willis kama mara kumi na tano. Alikuwa anatembea na kushangaa mji wetu wa Dreads. Siku ya pili sikupiga picha ndo ilikuwa scene ya kuchoma moto maiti"hayo ni baadhi ya maneno ayasemay0 Dada Chemi Che Mponda ambaye unaweza kumcheki zaidi kwa kupitia hapa ili uone ujue mengi ayafanyayo huko Hollywood.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad