HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 3, 2026

Waziri wa Fedha na Kamishina wa Sensa Spika Mstaafu ndani ya Banda la TIA

 

Waziri wa Fedha Balozi Khamis Mussa Omary akipata maelezo katika Banda la Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) wakati alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 50 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Fedha Balozi Khamis Mussa Omary akikabidhiwa mfuko uliowekewa taarifa mbalimbali za Taasisi  katika Banda la Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) wakati alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 50 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad