HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, July 12, 2026

MBUNGE MHANDO NA OLE LEKAITA WASHIRIKI UZINDUZI SHULE YA AWALI NA MSINGI LESIOT

 


Katika kuonesha ujirani mwema Mbunge wa Kiteto Edward Ole Lekaita na Mbunge wa Kilindi Salehe Mhando wameamua kushirikiana kuhakikisha barabara ya Lengatei- Songe inatengenezwa kwa kiwango cha changarawe na kupitika kwa mwaka mzima.

Mbali ya kushirikiana kusimamia Ujenzi wa barabara hiyo pia Wabunge hao wameshiriki shughuli ya uzinduzi wa shule ya awali na msingi Kijiji cha Lesiot Kata ya Lengatei Kiteto.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad