HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, June 29, 2026

Benki ya Absa Tanzania Yaendeleza Ukuaji wa Wajasiriamali Wadogo na wa Kati katika Siku ya Wajasiriamali Duniani.

 

Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Victor Nchimbi akizungumza na baadhi ya wajasiriamali kuhusu huduma zinazotolewa na benki hiyo hususani zinazowalenga wafanyabiashara wadogo na wa kati, katika hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Wajasiriamali Duniani ambayo Absa ilikuwa moja ya taasisi zilizojitokeza kudhamini tukio hilo, jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Tukio hili liliwakutanisha zaidi ya wajasiriamali 350, viongozi wa sekta, na watunga sera chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara ili kushirikiana katika kuendeleza ukuaji wa biashara zinazochochea injini ya uchumi wa taifa.
Meneja Bidhaa wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Devroda Kagusa (kulia) akizungumza kuhusu huduma zizotolewa na benki hiyo hususani zinazowalenga wafanyabiashara wadogo na wa kati, kwa baadhi ya wahudhuriaji waliofika katika banda lao, katika Maadhimisho ya Siku ya Wajasiriamali Duniani ambayo Absa ilikuwa moja ya taasisi zilizojitokeza kudhamini,  jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Tukio hili liliwakutanisha zaidi ya wajasiriamali 350, viongozi wa sekta, na watunga sera chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara ili kushirikiana katika kuendeleza ukuaji wa biashara zinazochochea injini ya uchumi wa taifa.

Ofisa Huduma kwa Wateja wa Benki ya Absa, Bi. Mboni Sabura (katikati) akizungumza na baadhi ya wajasiriamali  kuhusu huduma zinazotolewa na benki hiyo hususani akaunti maalumu ya wanawake ya She, katika hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Wajasiriamali Duniani ambayo Absa ilikuwa moja ya taasisi zilizojitokeza kudhamini, jijini Dar es Salaam hivi karibuni.Kulia ni Meneja Bidhaa Kitengo cha Biashara wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Devroda Kagusa. Tukio hili liliwakutanisha zaidi ya wajasiriamali 350, viongozi wa sekta, na watunga sera chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara ili kushirikiana katika kuendeleza ukuaji wa biashara zinazochochea injini ya uchumi wa taifa.

Meneja Bidhaa wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Devroda Kagusa (kulia) akizungumza kuhusu huduma zizotolewa na benki hiyo hususani zinazowalenga wafanyabiashara wadogo na wa kati, kwa baadhi ya wajasiriamali waliofika katika   Maadhimisho ya Siku ya Wajasiriamali Duniani, ambayo Absa ilikuwa moja ya taasisi zilizojitokeza kuwezesha tukio hilo, jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Tukio hili liliwakutanisha zaidi ya wajasiriamali 350, viongozi wa sekta, na watunga sera chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara ili kushirikiana katika kuendeleza ukuaji wa biashara zinazochochea injini ya uchumi wa taifa.

Baadhi ya wawezeshaji na wajasiriamali waliojitoleza kushiriki Maadhimisho ya Siku ya Wajasiriamali Duniani wakipiga picha ya pamoja mara baada ya kukamilika kwa tukio hilo, jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Benki ya Absa ilikuwa moja ya taasisi zilizojitokeza kudhamini hafla hiyo. Tukio hili liliwakutanisha zaidi ya wajasiriamali 350, viongozi wa sekta, na watunga sera chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara ili kushirikiana katika kuendeleza ukuaji wa biashara zinazochochea injini ya uchumi wa taifa.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad