HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, November 25, 2025

MAKAMU WA RAIS AKIFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI MKUU WA SLOVAKIA

 


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akifanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Slovakia Mhe. Robert Fico, kando ya Mkutano wa 7 wa Viongozi wa Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya (AU-EU Summit), unaofanyika Jijini Luanda nchini Angola.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad