Naibu katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Profesa Peter Msofe ametembelea Banda la NEMC lililoko viwanja vya Nanenane Nzuguni , Jijini Dodoma.
Akiwa bandani hapo, alifurahishwa na elimu ya Mazingira inayotolewa hususani ya namna bora ya kufanya kilimo, uvuvi na ufugaji unaozingatia utunzaji wa mazingira kwa mstakabali wa maendeleo endelevu nchini.
Amefurahishwa na huduma hiyo na kuitaka NEMC kuendeleza juhudi za utoaji elimu ya usimamizi na uhifadhi wa mazingira kwa mujibu wa Sheria
Saturday, August 2, 2025

Home
Unlabelled
PROFESA MSOFE AZURU BANDA LA NEMC MAONESHO YA NANENANE- DODOMA
PROFESA MSOFE AZURU BANDA LA NEMC MAONESHO YA NANENANE- DODOMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment