Akizungumza wakati wa kutembelea banda hilo, ameipongeza Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Taasisi zake kwa elimu inayoendelea kutoa kwa umma na wadau katika maonesho hayo.
Kauli mbiu ya maonesho hayo ni "CHAGUA VIONGOZI BORA KWA MAENDELEO ENDELEVU YA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI 2025"



No comments:
Post a Comment