Meneja wa Uhusiano na Eliminate kwa Umma Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Gaudensia Simwanza akielekeza Jambo kwa wananchi mbalimbali waliotembelea katika banda la Mamlaka hiyo kwenye maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea kwenye viwanja vya Saba Saba Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
Tuesday, July 8, 2025

TMDA YATOA ELIMU KWA UMMA MAONESHO YA SABASABA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment