Mjumbe Mhe.Rwebangira ameshuhudia mada mbalimbali zikiendelea kuwasilishwa sambamba na mafunzo yanayofanyika kwa njia ya vitendo.
Mafunzo haya ya siku tatu yamejumuisha Waratibu wa Uchaguzi wa Mikoa, Wasimamizia wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo, Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi na Maafisa Ununuzi, yanaendelea ikiwa ni siku ya pili huku yakitarajia kutamatika tarehe 17 Julai, 2025.
#KuraYakoHakiYakoJitokezeKupigaKura:






No comments:
Post a Comment