Ataeleza utekelezaji wa nchi kuhusu viwango vya kimataifa vya kazi na Ajira
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete amewasili Jijini Geneva Uswisi kushiriki Mkutano wa 113 wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) .
Katika Mkutano huo, Mhe. Ridhiwani ataeleza utekelezaji wa nchi kuhusu Viwango vya Kimataifa vya Kazi na Ajira za Kazi na kuungana na nchi wanachama kujajadili utekelezaji wa mpango kazi na bajeti ya uendeshaji wa Shirika hilo kwa mwaka 2026/27.

No comments:
Post a Comment