SIKU ya kutusua na wakali wa ubashiri Meridianbet imefika ambapo leo hii odds za kijanja zinapatikana hapa. Suka jamvi lako la ushindi na unufaike leo. Usisubiri kupitwa sasa.
Ligi kuu ya Saudi Arabia, SAUDI PROFESSIONAL LEAGUE itarajiwa kumalizika leo kwa mechi kibao ambapo Al Ettifaq watakuwa na kibarua cha kukipiga dhidi ya Al Wehda ambao wapo nafasi ya 15 na ushindi pekee ndio utakaowabakiza kwenye ligi. Meridianbet wameipa mechi hii ODDS 3.00 kwa 2.18. Bashiri hapa.
Mechi nyingine ni hii ya Al Orobah vs Al Taawoun ambao mechi iliyopita, walishinda huku wenyeji wao wakipigika. Mara ya mwisho kukutana hawa wawili, hakuna ambaye alikuwa mbabe kati yao. Nafasi ya kushinda mechi hii amepewa mgeni kwa ODDS 2.39 kwa 2.65. Je beti yako unaiweka wapi leo?. Bashiri hapa.
Ondoka na kitita chako leo hii ndani ya Meridianbet, Suka jamvi lako hapa lakini pia cheza michezo ya Kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, Keno, Poker, Roullette, Keno, na mingine kibao.
Kwa upande wa Al Fahya FC yeye atakipiga dhidi ya Al Shabab ambao wapo nafasi ya 6 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 13. Tofauti yao ni pointi 21 ambapo takwimu zikionesha kuwa mwenyeji alipasuka mechi ya mkondo wa kwanza walipokutana. Je anaweza kulipa kisasi leo hii akiwa nyumbani?. ODDS za mechi hii ni 3.05 kwa 2.20. Tengeneza jamvi hapa.
Nao Al Hilal watakuwa na kazi ya kukipiga dhidi ya Al Qadsiya huku timu hizi zikifatana kwenye msimamo wa ligi. Mwenyeji yupo nafasi ya 2 huku mgeni wake akiwa nafasi ya 3. Mwenyeji anataka kumaliza ligi kwa ushindi akiwa nyumbani, lakini pia kulipa kisasi baada ya kupigika mechi ya kwanza walipokutana. Je beti yako unaiweka kwa nani hapa?. Suka jamvi mechi hii yenye ODDS 1.90 kwa 3.40.
Bingwa mtetezi wa ligi Al Ittihad atakuwa naye nyumbani kukiwasha dhidi ya Damac FC ambao wapo nafasi ya 14. Msimamo wa ligi unaonesha kuwa mgeni ndiye mwenye uhitaji mkubwa wa pointi 3 kwani mwenyeji tayari yupo sehemu salama. Wakali wa ubashiri wameipa mechi hii ODDS 1.36 kwa 6.60. Jisajili hapa.
Al Nassr ya Ronaldo na wenzake baada ya kushindwa kuchukua kombe, leo hii watakuwa ugenini kucheza dhidi ya Al- Fateh wanaoshika nafasi ya 12 kwenye msimamo wa ligi. Je nani unampa nafasi ya kuondoka na pointi tatu siku ya leo?. 7.20 kwa 1.33 ndio ODDS za mechi hii. Tengeneza jamvi hapa.
SUPER LIG kule Uturuki kuna mechi moja pekee kati ya Hayataspor dhidi ya Fenerbahce Instanbul ambao wapo nafasi ya 2 huku mwenyeji wake akiwa nafasi ya 18 yaani ya pili kutoka mwisho. Meridianbet wameipa mechi hii ODDS 9.00 kwa 1.25. Suka jamvi hapa.
No comments:
Post a Comment