Kikao hicho pamoja na masuala mengine, kuliikaribisha Zambia kuwa Mwanachama Mpya wa Ushoroba wa Kati.
Zambia inakuwa mwanachama wa Saba wa Ushoroba wa Kati baada ya kusaini Mkataba wa CCTTFA tarehe 8 Oktoba,2025 katika tukio lililofanyika jijini Kinshasa



No comments:
Post a Comment