
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Wakili Albart Msando(kulia) akimkabidhi mtungi wa Taifa Gas Shekh wa Wilaya ya Handeni, Shaban Kizulwa wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi 300 ya Taifa Gas Bure kwa wakazi wa wilaya ya Handeni mjini.Ikiwa ni Kampeni maalumu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ya kumtua Mama mzigo wa kuni na kuhifandhi mazingira kwa kutumia nishati safi ya Taifa Gas.Katikati kulia ni Maneja mahusiuano wa Taifa Gas, Angela Bhoke na Maneja Mauzo wa Maduka, Nanzighe Nyambera.
.jpeg)
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Wakili Albart Msando(kulia) akimkabidhi mtungi wa Taifa Gas Kiongozi wa Wakina Mama Wajasiliamali Wilaya ya Handeni, Mwajabu Mhina wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi 300 ya Taifa Gas bure kwa wakazi wa wilaya ya Handeni mjini.Ikiwa ni Kampeni maalumu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ya kumtua Mama mzigo wa kuni na kuhifandhi mazingira kwa kutumia nishati safi ya Taifa Gas.Katikati kulia ni Maneja mahusiuano wa Taifa Gas, Angela Bhoke na Maneja Mauzo wa Maduka, Nanzighe Nyambera.
.jpeg)
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Wakili Albart Msando(kulia) akimkabidhi mtungi wa Taifa Gas Mama lishe, Bahati Shahiri wa Soko kuu la Handeni wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi 300ya Taifa Gas Bure kwa wakazi wa wilaya ya Handeni mjini.Ikiwa ni Kampeni maalumu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ya kumtua Mama mzigo wa kuni na kuhifandhi mazingira kwa kutumia nishati safi ya Taifa Gas.Katikati kulia ni Maneja mahusiuano wa Taifa Gas, Angela Bhoke na Maneja Mauzo wa Maduka, Nanzighe Nyambera.
.jpeg)
No comments:
Post a Comment