HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, March 3, 2024

DKT. TULIA AFANYA MAZUNGUMZO NA NAIBU WAZIRI MKUU IRAQ

 Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq, Mhe. Fuad Hussein katika moja ya kumbi za Mikutano za Kituo cha Mikutano ya Kimataifa Nest wakati Mkutano wa Jukwaa la Kidiplomasia la Antalya leo tarehe 3 Machi, 2024, Jijini Antalya Uturuki.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad