Katika mazungumzo yao, pande mbili zilikubaliana kuimarisha uhusiano na ushirikiano (kati ya Tanzania na Msumbiji) katika sekta ya Elimu, hususan kuanzishwa Darasa la Kiswahili Chuoni hapo na Darasa la Kireno katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Imetolewa na Ubalozi wa Tanzania, Maputo.

.jpeg)


No comments:
Post a Comment