
Mmoja wa wauzaji wa bidhaa za Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania-TVLA kutoka duka la Mashina Agrovet lililopo Morogoro, akifurahia kuletewa chanjo ya mdondo wa Kuku siku ya tarehe 11/10/2023 alipotembelewa dukani kwake na wataalam wa TVLA kwa lengo la kutangaziwa huduma zinazotolewa na TVLA, kusikilizwa maoni yao pamoja na kutatua changamoto wanazokutananazo kutoka kwa wateja wanaotumia bidhaa za TVLA. Aliesimama kulia ni Bw. Prosper Haule Kaimu Mkuu wa idara ya Mipango, Masoko na Habari na aliesimima kulia ni Bwa. Salim Mbalazi Mtaalam kutoka TVLA


No comments:
Post a Comment