
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mipango, Masoko na Habari kutoka Wakala Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) Bw. Prosper Haule akitoa elimu kwa wadau wa Mifugo waliotembelea banda la TVLA kujifunza kazi zinazofanywa na TVLA pamoja matumizi sahihi ya chanjo za Mifugo zinazozalishwa na TVLA kwenye maonesho ya pili ya Kilimo Biashara na Kilimo Marathon 2023 yanayofanyika Gairo Kata ya Chakwale Mnadani Mkoa wa Morogoro Oktoba 13, 2023. Kulia kwake ni Mtaalamu wa TVLA kituo cha Dodoma Bw. Anastasius Ngatata



No comments:
Post a Comment