HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, May 20, 2023

ZAMANA: KUTOKA IRENTE HADI KASRI LA BUCKINGHAM

Bi. Zamana (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mhe. Dkt. Asha-Rose Migiro (wa pili kushoto) na maafisa wengine wa Ubalozi huo.





Bi. Zamana (kulia) na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mhe. Dkt. Asha-Rose Migiro wakiwa na tuzo iliyotolewa na Mfalme Charles III.
Bi. Zamana (wa kwanza kushoto) katika picha ya pamoja na Mfalme Charles III (wa kwanza kulia) wakati wa hafla ya kuwapongeza waliopata tuzo iliyoandaliwa na Mfalme huyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad