HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, October 31, 2022

SPIKA DKT. TULIA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI BUNGENI JIJINI DODOMA

 

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiongoza kikao cha kamati ya uongozi cha kupokea na kujadili Mapendekezo ya Ratiba ya Mkutano wa Tisa wa Bunge leo tarehe 31 Oktoba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.
Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa mwihambi, ndc akishiriki katika kikao cha kamati ya uongozi cha kupokea na kujadili Mapendekezo ya Ratiba ya Mkutano wa Tisa wa Bunge leo tarehe 31 Oktoba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Mwenyekiti wa kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, Mhe. Emmanuel Mwakilasa
Wajumbe wa kamati ya uongozi ya Bunge wakiwa katika kikao cha kamati hiyo cha kupokea na kujadili Mapendekezo ya Ratiba ya Mkutano wa Tisa wa Bunge leo tarehe 31 Oktoba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma. Kuanzia kushoto ni Mwenyekiti wa kamati ya katibu na Sheria, Mhe. Joseph Mhagama na Makamu Mwenyekiti wa kamati ya Hesabu za Serikali, Mhe. Japhet Hassunga.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad