Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi mbalimbali kwenye
ufunguzi wa Mkutano wa Ubunifu wa Afya Duniani (World
Innovation Summit for Health) unaofanyika Doha nchini Qatar
tarehe 04 Oktoba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi wengine katika
ufunguzi wa Mkutano wa Ubunifu wa Afya Duniani (World
Innovation Summit for Health) unaofanyika Doha nchini Qatar
tarehe 04 Oktoba, 2022.
No comments:
Post a Comment