HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, July 4, 2022

TRA YAHAKIKI UBORA WA MATUMIZI YA BIDHAA 'KUHAKIKI STEMPU' NDANI YA MAOENESHO YA SABA SABA

 

 Naibu Kamishna Mkuu wa TRA, Bw. Mcha Hassan Mcha katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa TRA, alipotembelea mabanda ya Mamlaka hiyo ya mapato katika maonesho ya kimataifa ya biashara Sabasaba jijini Dar es Salaam.

Wafanyakazi wa TRA pamoja na Naibu kamishna mkuu wa mamlaka hiyo Ndg. Mcha Hassan Mcha wakifanya zoezi la kuskani kinywaji ili kuhakiki ubora wa matumizi ya bidhaa hiyo katika zoezi linaloendelea la ‘Kuhakiki Stempu’ katika viwanja vya sabasaba. Kulia ni Mkurugenzi wa huduma na Elimu kwa Mlipa kodi TRA Bw. Richard Kayombo

Naibu kamishna mkuu wa TRA, Bw. Mcha Hassan Mcha akizungumza na baadhi ya wafanyakazi wa mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) alipotembelea viwanja vya maonesho ya kimataifa ya biashara ya Sabasaba yanayofanyika kila mwaka Tanzania.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad