Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa
katika picha ya pamoja na msanii na msanii wa Muziki wa Hiphop Bw.
Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ mara baada ya kuwasili Serena kwa ajili ya
kuhudhuria tamasha la maadhimisho ya miaka 30 ya msanii huyo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimpa
Tuzo Msanii wa Muziki wa Hiphop nchini Bw. Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ ya
kuthamini mchango wake katika Sanaa na kuzalisha ajira kabla ya kuzindua
kitabu cha msanii huyo chenye jina la Muziki na Maisha from the Street
katika Tamasha la Dream Concert lililofanyika Serena Jijini Dar es
Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akikata
utepe kuashiria uzinduzi wa Kitabu cha Msanii Bw. Joseph Mbilinyi ‘Sugu’
chenye jina la Muziki na Maisha from the Street katika Tamasha la Dream
Concert lililofanyika Serena Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akizungumza na viongozi mbalimbali pamoja na wasanii wa muziki wa Hiphop
na Bongo flava katika maadhimisho ya miaka 30 ya Msanii Bw. Joseph
Mbilinyi ‘Sugu’ ya kuwa katika fani hiyo kwenye Tamasha la Dream Concert
lililofanyika Serena Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili
katika ukumbi wa Serena pamoja na Msanii wa Muziki wa Hiphop nchini Bw.
Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ kwa ajili ya kuhudhuria Tamasha la Dream Concert
lililofanyika Serena Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifurahia
jambo na Sasha Joseph Mbilinyi mtoto wa Msanii wa Hiphop Bw. Joseph
Mbilinyi ‘Sugu’ katika Tamasha la Dream Concert lililofanyika Serena
Jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment