HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, June 26, 2022

MKUU WA WILAYA YA KUSINI ATEMBELEA NA KUKAGUA KONGAMANO LA VIJANA LA SHINA INC

 

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Rashidi Makame Shamsi akizungumza na wageni waalikwa pamoja na wanakongamano alipofika kukagua, kusalimia na kutoa salamu za Serikali ya Zanzibar wakati wa kongamano la Vijana lililoandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la SHINA INC na linalofanyika kwa katika eneo la Makunduchi, Zanzibar.


Rais wa Shirika la SHINA INC, Jessica Mushala akizungumza na kumkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Kusini Rashidi Makame Shamsi alipofika kwa ajili  ya kukagua, kusalimia na kutoa salamu za Serikali ya Zanzibar kwa washiriki wa kongamano la Vijana lililoandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la SHINA INC na linalofanyika kwa siku tatu katika eneo la Makunduchi, Zanzibar

Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Makunduchi A/INS  Mtumwa Mussa akizungumza na washiriki wa kongamano la Vijana lililoandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la SHINA INC na linalofanyika kwa siku tatu katika eneo la Makunduchi, Zanzibar

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Rashidi Makame Shamsi akiwa kwenye picha ya pamoja na uongozi wa Shirika la Shina INC wakiongozwa na Rais wa Shirika la SHINA INC, Jessica Mushala mara baada ya kuwasili kwenye kongamano la Vijana lililoandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la SHINA INC na linalofanyika kwa siku tatu katika eneo la Makunduchi, Zanzibar

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad