HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 6, 2022

WAZIRI MULAMULA ASHIRIKI MKUTANO WA DHARURA WA BARAZA LA MAWAZIRI WA SADC

 

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipozindua Mradi wa USAID AFYA YANGU kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Mei 6, 2022.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua Mradi wa USAID AFYA YANGU kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Mei 6, 2022. Wengine pichani kutoka kushoto ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, Mkurugenzi Mkazi wa USAID, Kate Somvongsiri, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, Balozi wa Marekani nchini Dkt. Donald Wright , Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka na kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Zainab Chaula.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionesha bango baada ya kuzindua Mradi wa USAID AFYA YANGU kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Mei 6, 2022. Wengine pichani kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mkazi wa USAID, Kate Somvongsiri, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, Balozi wa Marekani nchini Dkt. Donald Wright na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad