HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 11, 2022

SPIKA DKT. TULIA AONGOZA KIKAO CHA MAJADILIANO NA VIONGOZI WA VYAMA VYA HIARI VYA WABUNGE


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Tulia Ackson (Mb), akiongoza kikao cha majadiliano na viongozi wa vyama vya hiari vya Wabunge leo Mei 11, 2022 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu na Kulia ni Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc.
Mwenyekiti Mstaafu wa Chama cha Wabunge walio katika Mapambano dhidi ya Rushwa (APNAC) na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Kazi Maalum, Mhe. Kapteni. George Mkuchika akichangia jambo wakati wa kikao cha majadiliano ya viongozi wa vyama vya hiari vya Wabunge yaliyoongozwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Tulia Ackson (Mb), leo Mei 11, 2022 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Viongozi wa vyama vya hiari vya Wabunge wakiwa katika kikao cha majadiliano yaliyoongozwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Tulia Ackson (Mb), leo Mei 11, 2022 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad