HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 11, 2022

BALOZI KILANGI AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS WA BRAZIL

 

Mhe. Rais Bolsonaro akionesha Hati za Utambulisho za Mhe. Balozi Kilangi mara baada ya kuzipokea wakati wa hafla iliyofanyika hivi karibuni katika Ofisi za Rais za Palacio Do Planalto zilizopo Brasilia, Brazil

Balozi wa Tanzania nchini Brazil, Mhe. Prof. Adelardus Kilangi akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Brazil, Mhe. Jair Bolsonaro wakati wa hafla iliyofanyika hivi karibuni katika Ofisi za Rais za Palacio Do Planalto zilizopo Brasilia, Brazil

Mhe. Balozi Kilangi akiwa katika mazungumzo na Mhe. Rais Bolsonaro mara baada ya kuwasilisha hati zake za utambulisho

Mhe. Balozi Kilangi akiwa na Mhe. Rais Bolsonaro

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad