Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo akipanda
ngazi kukagua mradi wa ujenzi wa tenki la maji lenye ujazo wa lita 500
katika kijiji cha Mwakitolya, Shinyanga Vijijini leo Mei 29,2022 mkoani
Shinyanga.
Tenki hilo ambalo tayari limeishakamilika linatarajia kuhudumia
Wananchi zaidi ya 14,000. Mradi huo unafadhiliwa na Serikali ya Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania kwa gharama zaidi ya shilingi Milioni 364.
Katibu
Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo akikagua mradi
wa ujenzi wa tenki la maji lenye ujazo wa lita 500
katika kijiji cha Mwakitolya,Shinyanga Vijijini leo Mei 29,2022 mkoani
Shinyanga.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo(Wa kwanza kushoto)
kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa KASHWASA,Mhandisi Patrick Nzamba(wa
kwanza kulia) kuhusu mradi wa ujenzi wa tenki la maji lenye ujazo wa
lita 500
katika kijiji cha Mwakitolya,Shinyanga Vijijini leo Mei 29,2022 mkoani
Shinyanga.
No comments:
Post a Comment