HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, April 27, 2022

WAZIRI MKUU MAJALIWA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUPOKEA MWILI WA MBUNGE WA VITI MAALUM


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Aprili 27, 2022 amewaongoza waombolezaji kupokea mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Rukwa, Irene Ndyamkama kwenye uwanja wa Ndege wa Dodoma. Mheshimiwa Spika Dkt. Tulia Ackson (kulia kwa Waziri Mkuu) pia alishiriki katika mapokezi ya mwiili wa Mbunge huyo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Aprili 27, 2022 amewaongoza waombolezaji kupokea mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Rukwa, Irene Ndyamkama kwenye uwanja wa Ndege wa Dodoma. Mheshimiwa Spika Dkt. Tulia Ackson (wa pili kulia) pia alishiriki katika mapokezi ya miili wa Mbunge huyo. 
Katibu wa Bunge, Mhe. Nenelwa Mwihambi, ndc akishiriki zoezi la kuuga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Rukwa, Mhe. Irene Alex Ndyamkama leo Aprili 27, 2022 katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad