HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, April 5, 2022

Rais Samia afungua Mkutano wa Maridhiano ya Kitaifa, Haki na Amani Jijini Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akiagana na Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Zitto Kabwe, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM-Bara) Abdulrahman Kinana nje ya ukumbi wa Mikutano wa Hazina Jijini Dodoma baada ya kuzungumza na viongozi mbalimbali wa vyama vya Siasa waliohudhuria Mkutano wa Haki, Amani na Maridhiano uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Hazina Jijini Dodoma leo tarehe 05 Aprili, 2022.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Viongozi wa Vyama vya Siasa, Mabalozi, Wawakilishi wa Taasisi mbalimbali kabla ya kufungua Mkutano wa Haki, Amani na Maridhiano ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) katika ukumbi wa Mikutano wa Hazina Jijini Dodoma leo tarehe 05 Aprili, 2022.
Viongozi mbalimbali wa Vyama vya Siasa, baadhi ya Mabalozi wakiwa katika ukumbi wa Mikutano wa Hazina Jijini Dodoma kuhudhuria Mkutano wa Haki, Amani na Maridhiano, ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kwenye ukumbi wa Mikutano wa Hazina Jijini Dodoma leo tarehe 05 Aprili, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akiwa na Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Zitto Kabwe, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM-Bara) Abdulrahman Kinana katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa vyama vya Siasa waliohudhuria Mkutano wa Amani, Haki na Maridhiano uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Hazina Jijini Dodoma leo tarehe 05 Aprili, 2022.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad