HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, February 25, 2022

WAZIRI MKUU MAJALIWA AZUNGUMZA NA VIONGOZI MBALIMBALI BAADA YA MKUTANO WA MPANGO WA AMANI, USALAMA NA USHIRIKIANO NCHINI DRC




Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Felix Tshisekedi katika mkutano wa pembeni baada ya kumalizika kwa mkutano wa kumi wa wakuu wa nchi wa Serikali zinazohusika na mpango wa Amani, Usalama na Ushirikiano nchini DRC na kwenye ukanda wa maziwa makuu uliofanyika, jijini Kinshasa, DRC Februari 24, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye baada ya kumalizika kwa mkutano wa kumi wa wakuu wa nchi wa Serikali zinazohusika na mpango wa Amani, Usalama na Ushirikiano nchini DRC na kwenye ukanda wa maziwa makuu uliofanyika, jijini Kinshasa, DRC Februari 24, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa anayeshughulikiwa masuala ya amani Jean-Pierre Lacroix baada ya kumalizika kwa mkutano wa kumi wa wakuu wa nchi wa Serikali zinazohusika na mpango wa Amani, Usalama na Ushirikiano nchini DRC na kwenye ukanda wa maziwa makuu uliofanyika, jijini Kinshasa, DRC Februari 24, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad