Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango
akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka kwa niaba ya wakuu wa
mikoa 25 mfano wa ufunguo wa Pikipiki zilizotolewa kwaajili ya kazi za
Maafisa Ugani katika Halmashauri 140 hapa nchini. Januari 17,2022
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango
akizungumza na Viongozi wa Wizara ya Tamisemi, Mifugo pamoja na wahusika
wa sekta ya mifugo nchini wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha Washauri
wa Mifugo wa Mikoa na Wakuu wa Idara za Mifugo na Uvuvi kutoka Mamlaka
za Serikali za Mitaa (Tamisemi). Januari 17,2022.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango
akizungumza na Viongozi wa Wizara ya Tamisemi, Mifugo pamoja na wahusika
wa sekta ya mifugo nchini wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha Washauri
wa Mifugo wa Mikoa na Wakuu wa Idara za Mifugo na Uvuvi kutoka Mamlaka
za Serikali za Mitaa (Tamisemi). Januari 17,2022.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango
akizungumza na Viongozi wa Wizara ya Tamisemi, Mifugo pamoja na wahusika
wa sekta ya mifugo nchini wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha Washauri
wa Mifugo wa Mikoa na Wakuu wa Idara za Mifugo na Uvuvi kutoka Mamlaka
za Serikali za Mitaa (Tamisemi). Januari 17,2022.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akiwa
katika picha ya pamoja na viongozi wa wizara za Mifugo na Uvuvi pamoja
na Tamisemi mara baada ya kumaliza ufunguzi wa kikao kazi cha Washauri
wa Mifugo wa Mikoa na Wakuu wa Idara za Mifugo na Uvuvi kutoka Mamlaka
za Serikali za Mitaa (Tamisemi). Januari 17,2021.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akikata
utepe wakati wa kukabidhi jumla ya pikipiki 300 kwaajili ya kazi za
maafisa ugani katika Halmshauri 140 hapa nchini. Januari 17,2022.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akijaribu
moja ya pikipiki kati ya pikipiki 300 zilizotolewa na Wizara ya Mifugo
na Uvuvi kwaajili ya kazi za Maafisa Ugani katika Halmshauri 140 hapa
nchini. Januari 17,2022.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akijaribu
moja ya pikipiki kati ya pikipiki 300 zilizotolewa na Wizara ya Mifugo
na Uvuvi kwaajili ya kazi za Maafisa Ugani katika Halmshauri 140 hapa
nchini. Januari 17,2022.
No comments:
Post a Comment