HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, December 5, 2021

Tamasha la Benki ya CRDB kupitia Akaunti ya watoto 'Junior Jumbo' lafana jijini Dar

Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya CRDB, Fredrick Nshekanabo akiwagawia zawadi baadhi ya watoto katika tamasha maalumu lenye lengo la kuwajengea utamaduni wa kuweka akiba watoto wakiwa wadogo kupitia akaunti ya watoto ya Benki ya CRDB (Junior Jumbo Account) na kuwashukuru wazazi pamoja na walezi kwa kuwafungulia watoto akaunti katika benki hiyo. Tamasha hilo limefanyika kwenye viwanja vya Mlimani city, jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.
Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya CRDB, Fredrick Nshekanabo akifurahi pamoja na baadhi ya watoto katika tamasha maalumu lenye lengo la kuwajengea watoto utamaduni wa kuweka akiba wakiwa wadogo kupitia akaunti ya watoto ya Benki ya CRDB (Junior Jumbo Account) na kuwashukuru wazazi pamoja na walezi kwa kuwafungulia watoto akaunti katika benki hiyo. Tamasha hilo limefanyika kwenye viwanja vya Mlimani city, jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. 

Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya CRDB, Fredrick Nshekanabo akizingumza katika tamasha maalumu lenye lengo la kuwajengea watoto utamaduni wa kuweka akiba wakiwa wadogo kupitia akaunti ya watoto ya Benki ya CRDB (Junior Jumbo Account) na kuwashukuru wazazi pamoja na walezi kwa kuwafungulia watoto akaunti katika benki hiyo. Tamasha hilo limefanyika kwenye viwanja vya Mlimani city, jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. 

Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa Benki ya CRDB, Joseline Kamuhanda akizingumza katika tamasha maalumu lenye lengo la kuwajengea watoto utamaduni wa kuweka akiba wakiwa wadogo kupitia akaunti ya watoto ya Benki ya CRDB (Junior Jumbo Account) na kuwashukuru wazazi pamoja na walezi kwa kuwafungulia watoto akaunti katika benki hiyo. Tamasha hilo limefanyika kwenye viwanja vya Mlimani city, jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.
Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya CRDB, Fredrick Nshekanabo akishiriki kuburudika na baadhi ya watoto na wazazi/walezi wao katika tamasha maalumu lenye lengo la kuwajengea watoto utamaduni wa kuweka akiba wakiwa wadogo kupitia akaunti ya watoto ya Benki ya CRDB (Junior Jumbo Account) na kuwashukuru wazazi pamoja na walezi kwa kuwafungulia watoto akaunti katika benki hiyo. Tamasha hilo limefanyika kwenye viwanja vya Mlimani city, jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.








No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad