Benki ya Equity (T)imetia saini Mkataba wa Makubaliano na Shirika la Posta nchini kutumiani vituo vya Shirika hilo kutolea huduma zake za kibenki ili kusogezahuduma karibu zaidi na wateja wake na watanzania kwa ujumla.Akizungumza katika hafla ya utiaji saini mkataba huo jijini Dar esSalaam, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Equity Robert Kibotiamesema kuwa kupitia mtandao wa Ofisi za Shirika la Posta nchini ,Benki ya Equity itaweza kuwafikia maelfu ya wananchi nchi nzima nakuwapatia huduma bora zaidi za fedha. “Hatua hii itatuongezea wigo wamtandao wa utoaji huduma zetu ambazo ni nafuu zaidi nchini na hivyokuendana na lengo letu la kukomboa Watanzania kiuchumi kwakuongeza ushiriki wa mfumo rasmi wa fedha (financial inclusion).“Kwa sasa Equity Bank ina mawakala wapatao 3,900 na hivyo kuunganana Shirika la Posta kuwa kama Supa Wakala wetu , kupitia mtandao waofisi zake 35, kutatuwezesha kuongeza idadi ya wananchiwatakaofikiwa na huduma zetu kwa ukaribu na urahisi zaidi. Kwakuanzia tutaanza na vituo 35 kwa maeneo kama Karatu, Namanga,Tegeta, Geita, Iringa Mjini, Mafinga, Bukoba, Katavi, Kasulu, Rombo,lindi, Babati, Tarime, Njombe, Rukwa, Makambako, Chalinze,Sumbawanga, Songea, Nzega, Singida, Tanga na Pemba” alisema.Kiboti amesema kuwa ushirikiano huo ni utekelezaji wa sera ya Benki yaEquity ya kuwakomboa wananchi kiuchumi kwa kuwapa huduma nafuuza kifedha. “Akaunti zetu hazina makato ya mwezi na tuna viwango borakabisa vya riba sokoni. Pia kupitia vituo hivi vipya huduma nyingizitatolewa ikiwemo kufungua akaunti, kulipa ankara na kutoa floti kwaMawakala wodog0 waliopo karibu” amesema Kiboti.Kwa upande wake, Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la PostaTanzania, Macrice Mbodo amesema kwa kuanza shirika hilo na EquityBank wataanza kutoa huduma katika ofisi zake 35 zilizo maeneombalimbali nchini. “Tunajivunia kuweza kuungana na Benki ya Equitykatika kufanikisha mpango huu utakaosaidia kufikisha huduma zakibenki kwa Watanzania wengi zaidi. Juu ya hilo kupitia mpango huuShirika la Posta pia litapata chanzo kipya cha mapato kupitia kamishenina hivyo kuimarisha mapato ya shirika”. Amesema.Benki ya Equity imekuwa kinara wa kutumia mifumo ya kidijitali kutoleahuduma zake huku ikiongoza kwa ufanisi wa njia mbadala za kutoleahuduma ikiwemo Mawakala. Kwa sasa, zaidi ya asilimia 85 miamalayote ya wateja wa Benki ya Equity imekuwa ikifanyika nje ya Matawikupitia huduma mbadala na kidijitali.Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Equity Robert Kiboti akitia saini Mkataba wa Makubaliano na Shirika la Posta nchini kutumia
ni vituo vya Shirika hilo kutolea huduma zake za kibenki ili kusogeza
huduma karibu zaidi na wateja wake na watanzania kwa ujumla.saini Mkataba wa Makubaliano na Shirika la Posta nchini kutumia
ni vituo vya Shirika hilo kutolea huduma zake za kibenki ili kusogeza
huduma karibu zaidi na wateja wake na watanzania kwa ujumla.
Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Equity Robert Kiboti na Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la PostaTanzania, Macrice Mbodo Wakikabidhiana MkatabaMkataba wa Makubaliano na Shirika la Posta nchini kutumia ni vituo vya Shirika hilo kutolea huduma zake za kibenki ili kusogeza huduma karibu zaidi na wateja wake na watanzania kwa ujumla.saini Mkataba wa Makubaliano na Shirika la Posta nchini kutumia ni vituo vya Shirika hilo kutolea huduma zake za kibenki ili kusogeza huduma karibu zaidi na wateja wake na watanzania kwa ujumla.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Equity Robert Kiboti akizingumza na wageni mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari katika zoezi la kutia saini Mkataba wa Makubaliano na Shirika la Posta nchini kutumia ni vituo vya Shirika hilo kutolea huduma zake za kibenki ili kusogeza huduma karibu zaidi na wateja wake na watanzania kwa ujumla.saini Mkataba wa Makubaliano na Shirika la Posta nchini kutumia ni vituo vya Shirika hilo kutolea huduma zake za kibenki ili kusogeza huduma karibu zaidi na wateja wake na watanzania kwa ujumla.Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la PostaTanzania, Macrice Mbodo akizungumza na vyombo vya habari nchini
No comments:
Post a Comment