HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 1, 2021

SIMBACHAWENE AKUTANA NA BALOZI WA CANADA NCHINI TANZANIA, WAJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU ULINZI NA USALAMA

 


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza na Balozi wa Canada nchini Tanzania, Pamela O’Donell (kulia), wakati balozi huyo alipofika kwa mazungumzo leo, Ofisi ya wizara jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Balozi wa Canada nchini Tanzania, Pamela O’Donell (kulia),akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene wakati balozi huyo alipofika kwa mazungumzo leo,Ofisi ya wizara jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Canada nchini Tanzania, Pamela O’Donell (kulia),baada ya kumaliza mazungumzo leo,Ofisi ya wizara jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Canada nchini Tanzania, Pamela O’Donell (wanne kulia),baada ya kumaliza mazungumzo leo,Ofisi ya wizara jijini Dodoma.Wengine ni wasaidizi wa Balozi na Maofisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad