HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 15, 2021

MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI MKUU

 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango, hii leo Septemba 15,2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa. Mazungumzo hayo yamefanyika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad