Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor
Mpango, hii leo Septemba 15,2021 amekutana na kufanya mazungumzo na
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa.
Mazungumzo hayo yamefanyika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu ya Chamwino
mkoani Dodoma.
No comments:
Post a Comment