Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akizungumza na Rais Mpya wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema mara baada ya
kuapishwa kuwa Rais wa 7 wa Zambia katika Uwanja wa Taifa wa Mashujaa
(National Heroes Stadium) Jijini Lusaka Zambia leo Agosti 24,2021.
No comments:
Post a Comment