Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa
pamoja na Viongozi mbalimbali akikata utepe kuashiria kupokea Ndege Mpya
aina ya Bombadier DASH 8-Q400 iliyonunuliwa na Serikali ya Tanzania na
kukodishwa kwa Shirika la Ndege la ATCL ilipowasili katika Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 30
Julai, 2021. Wa pili kushoto ni Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango
na wa tatu kulia ni waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa.Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akiwasalimia Wananchi waliofika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius
Nyerere kwa ajili ya kumuunga Mkono kwenye mapokezi ya Ndege Mpya aina
ya Bombadier DASH 8-Q400 iliyonunuliwa na Serikali ya Tanzania na
kukodishwa kwa Shirika la Ndege la ATCL ilipowasili katika Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 30
Julai, 2021.Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiondoka
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere baada ya kupokea Ndege
Mpya aina ya Bombadier DASH 8-Q400 iliyonunuliwa na Serikali ya Tanzania
na kukodishwa kwa Shirika la Ndege la ATCL ilipowasili katika Uwanja
wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe
30 Julai, 2021. IKULU.
No comments:
Post a Comment