MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akimsikiliza mmoja wa shuhuda wa matumizi ya Dawa za Kulevya Ndg. Suleiman Said
Humoud akitowa maelezo wakati wa uzinduzi wa Mradii wa Jumuiya Rafiki wa Wanawake
na Watoto Zanzibar wa Amka Mwanangu Soma kwa Bidii, uliozinduliwa katika ukumbi
wa Hoteli ya Golden Tulip Malindi Jijini Zanzibar na (kushoto kwake) Mkuu wa
Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud na (kulia kwake)
Mwenyekiti wa Taasisi ya Rafiki wa Wanawake na Watoto Zanzibar (RAWWAZA) Mhe.
Tauhida Cassian Gallos.(Picha na Ikulu)
BAADHI ya Wabunge na Viongozi wa mbalimba na
Wananchi wakifuatilia Uzinduzi wa Mradi wa Amka
Mwanangu Soma kwa Bidii, wakati Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam
Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuuzindua Mradi huo jana usiku 7-3-2021,
katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Malindi Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akikabidhiwa Taarifa ya Utekelezaji wa Mradi wa Amka Mwanangu Soma kwa Bidii wa
Jumuiya ya Rafiki wa Wanawake na Watoto Zanzibar (RAWWAZA) na Mshika Fedha wa
Taasisi hiyo Bi, Valeria Rashid Haroub, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa
Hoteli ya Golden Tulip Malindi Jijini Zanzibar jana usiku 7-3-2021.(Picha na
Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam
Mwinyi akizungumza katika hafla ya Uzinduzi wa Mradi wa Amka Mwanangu Soma kwa
Bidii Ili Kutengeneze Kesho Yako, hafla hiyo imefanyika jana usiku 7-3-2021,
katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Malindi Jijini Zanzibar.(Picha na
Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akikabidhiwa Risala ya Jumuiya ya Rafiki wa Wanawake na Watoto Zanzibar (RAWWAZA)
na Katibu wa Jumuiya hiyo Bi. Tatu Hussein Abdalla, wakati wa Uzinduzi wa Mradi
wa Amka Mwanangu Soma kwa Bidii, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Hoteli
ya Golden Tulip Malindi Jijini Zanzibar jana usiku 7-3-2021.(Picha na Ikulu)
BAADHI ya Mawaziri na Viongozi wa Taasisi za
Serikali wakimsiliza Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, akihutubia
katika hafla hiyo ya Uzinduzi wa Mradi wa Amka Mwanangu Soma kwa Bidii Ili Kutengeneza
Kesho Yako, uzinduzi huo umefanyika jana usiku 7-3-2021 katika ukumbi wa Hoteli
ya Golden Tulip Malindi Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akimtunza msanii wa Kikundi cha Zanzibar One, wakati wakitowa burudani katika
hafla ya uzinduzi wa Mradi wa Jumuiya ya Rafiki wa Wanawake na Watoto Zanzibar
(RAWWAZA) Amka Mwanangu Soma kwa Bidii Ili Kutengeneza Kesho Yako, hafla hiyo
imefanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Malindi Jijini
Zanzibar.(Picha na Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akionesha Tunzo aliyokabidhiwa na Jumuiya ya Rafiki wa Wanawake na Watoto
Zanzibar ( RAWWAZA) ya ‘Kumpongeza Mama
Mariam Mwinyi Kwa Kuungana Nasi Zidi ya Kuwapigania Wanawake na Watoto Zanzibar’
baada ya kukabidhiwa na Walezi wa Jumuiya hiyo Mhe. Taufik Salim Turky na Mhe
Faharia Khamis Shomar. Wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Amka Mwanangu Soma kwa
Bidii Ili Kutengeneza Kesho Yako.(Picha na Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam
Mwinyi akikabidhiwa Jahazi iliotolewa na Jumuiya ya RAWWAZA kwa Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi,
akikabidhiwa na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud,
wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Mradi wa Amka Mwanangu Soma kwa Bidii Ili
Kutengeneza Kesho Yako, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden
Tulip Malindi Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwariam Mwinyi
akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Amka Mwanangu Soma kwa
Bidii, waliosimama nyumba na waliokaa kutoka (kushoto kwake) Mkuu wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud na Mkuu wa Wilaya ya Magharibi “A”Unguja
Bi. Suzan Kunambi na (kulia kwake) Mwenyekiti wa RAWWAZA Mhe. Tauhida Cassian
Gallos, baada ya kumalizika kwa hafla ua Uzinduzi wa Mradi wa Amka Mwanangu
Soma Kwa Bidii uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Malindi
Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akiwasalimia na kuwaaga wageni waalikwa katika hafla ya Uzinduzi wa Mradi wa
Amka Mwanangu Soma kwa Bidii, baada ya kuuzindua Mradi huo katika ukumbi wa
Hoteli ya Golden Tulip Malindi Jijini Zanziba.(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment