Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi
(katikati) akifuatana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Idrissa
Kitwana Mustafa (wa pili kulia) mara alipowasili katika viwanja vya
Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzinar
alipohudhuria katika kikao cha wadau wa Elimu kilichofanyika.[Picha na
Ikulu]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) alipokuwa akihutubia katika mkutano wa wadau wa Elimu
uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Jijini
Zanzibar,[Picha na Ikulu]
Mjumbe
kutoka chama cha walimu Zanzibar (ZATUC) Bw.Salim Ali Salim alipokuwa
akichangia katika mkutano wa Wadau wa Elimu uliofanyika katika ukumbi wa
Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar chini ya mwenyekiti
wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein
Ali Mwinyi (hayupo pichani).[Picha na Ikulu]
Baadhi
ya wadau wa Elimu wakiuatilia kwa makini namana ya uendeshaji wa kikao
maalum kinachozungumzia uboreshaji wa masuala ya Elimu kilichofanyika
katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
chini ya mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani).[Picha na Ikulu]
No comments:
Post a Comment