HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, October 22, 2020

MGOMBEA URAIS WA CCM,RAIS MAGUFULI AOMBEWA BARAKA NA MASISTA WA BIKIRA MARIA KILIMANJARO

 

 


Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiombewa baraka katika majukumu yake ya kazi na Masista wa Bikira Maria of Kilimanjaro (Sisters of our lady of Kilimanjaro) wakati akitoka kwenye mkutano wa Kampeni za CCM ambapo alisimama kuwasalimia Masista hao waliojipanga pembezoni mwa barabara leo tarehe 21 Oktoba 2020.




Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia Masista wa Bikira Maria of Kilimanjaro) Sisters of our lady of Kilimanjaro Moshi mjini mkoani Kilimanjaro wakati akitoka kwenye mkutano wa Kampeni za CCM ambapo alisimama kuwasalimia Masista hao wa Kanisa Katoliki ambao walikuwa wamejipanga pembezoni mwa barabara leo tarehe 21 Oktoba 2020

 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad