HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 28, 2020

MGOMBEA URAIS WA CCM DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA MPUGUZI NA MVUMI


 




Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Mpuguzi katika Jimbo la Dodoma mjini wakati akiwa njiani kuelekea katika mikutano ya Kampeni za CCM mkoani wa Iringa leo tarehe 28 Septemba 2020



Wananchi wa Mpuguzi mkoani Dodoma wakishangilia mara baada ya Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kusimama katika eneo hilo leo tarehe 28 Septemba 2020 wakati akielekea mkoani Iringa.

Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Manzase Mvumi mkoani Dodoma wakati akielekea mkoani Iringa leo tarehe 28 Septemba 2020



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad